Advertisements

Friday, June 22, 2018

WAZIRI MWIGULU ATOA WIKI MOJA KWA POLISI DODOMA, OFISI YA MKURUGENZI BAHI KUMPA TATHMINI MAREKEBISHO UJENZI KITUO CHA POLISI KILICHOKWAMA KUFUNGULIWA TARAFA YA CHIPANGA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (aliyevaa skafu shingoni) akiingia katika Kituo cha Polisi Chipanga, Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma, wakati alipofanya ziara ya kukikagua kituo hicho ambacho kilijengwa na wananchi lakini hakikufunguliwa tangu mwaka 2005 kutokana na sababu mbalimbali. Hata hivyo, Dk. Mwigulu ametoa wiki moja kwa Jeshi la Polisi Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani humo, kufanya tahmini ya makadirio ya marekebisho ya ujenzi wa Kituo hicho, ili kiweze kufunguliwa kwa uharaka haraka. Kulia aliyevaa kaunda suti ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badueli. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badueli, wakati walipokua ndani ya Kituo cha Polisi Chipanga ambacho kilijengwa na wananchi lakini hakikufunguliwa tangu mwaka 2005 kutokana na sababu mbalimbali. Hata hivyo, Dk. Mwigulu ametoa wiki moja kwa Jeshi la Polisi Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani humo, kufanya tahmini ya makadirio ya marekebisho ya ujenzi wa Kituo hicho, ili kiweze kufunguliwa kwa uharaka haraka


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chipanga, wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, leo, wakati alipofanya ziara ya kukikagua Kituo cha Polisi Chipanga ambacho kilijengwa na wananchi hao lakini hakikufunguliwa tangu mwaka 2005 kutokana na sababu mbalimbali. Hata hivyo, Dk. Mwigulu ametoa wiki moja kwa Jeshi la Polisi Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani humo, kufanya tahmini ya makadirio ya marekebisho ya ujenzi wa Kituo hicho, ili kiweze kufunguliwa kwa uharaka haraka. 


Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badueli, akimpa taarifa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (watatu kulia), kuhusu historia ya Kituo cha Polisi Chipanga ambacho kilijengwa na wananchi lakini hakikufunguliwa tangu mwaka 2005 kutokana na sababu mbalimbali. Hata hivyo, Dk. Mwigulu ametoa wiki moja kwa Jeshi la Polisi Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani humo, kufanya tahmini ya makadirio ya marekebisho ya ujenzi wa Kituo hicho ili kiweze kufunguliwa kwa uharaka haraka


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chipanga (hawapo pichani), wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, leo, wakati alipofanya ziara ya kukikagua Kituo cha Polisi Chipanga ambacho kilijengwa na wananchi hao lakini hakikufunguliwa tangu mwaka 2005 kutokana na sababu mbalimbali. Hata hivyo, Dk. Mwigulu ametoa wiki moja kwa Jeshi la Polisi Dodoma na Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani humo, kufanya tahmini ya makadirio ya marekebisho ya ujenzi wa Kituo hicho, ili kiweze kufunguliwa kwa uharaka haraka. Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badueli, na kushoto ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Chipanga A, Ologa Masaulwa


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Jeshi la Polisi, Wilaya ya Bahi wakati alipofanya ziara ya kukikagua kituo cha Polisi Chipanga. Kushoto ni Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SSP Maxi Muhindi, Kulia ni Mkuu wa Jeshi hilo Wilaya ya Bahi, SP Mahemba Kavalambi, na wapili kulia ni Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badueli.

No comments: