Advertisements

Thursday, June 21, 2018

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BAJETI YA SERIKALI YA ZANZIBAR

 Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akionesha mkoba wenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 wakati alipowasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN). 
 Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Khalid Salum Mohammed akisoma hutuba ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi uliopo Chukwani Wilaya ya Magharibi ‘B’ jana.

No comments: