Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola
(kulia), akimjulia hali mmoja wa majeruhi aliyelazwa
katika Hospitali ya Rufaa Ifisi, ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni, katika eneo la Mlima
Iwambi,jijini Mbeya.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano, Mhandisi Isaac Kamwelwe (kushoto),na
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), wakimjulia hali
mmoja wa majeruhi aliyelazwa katika Hospitali Teule ya Mbalizi, ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni,
katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akizungumza na wananchi katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya, ambako hivi
karibuni kumetokea ajali iliyosababisha vifo na majeruhi.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi
Mganga Mkuu wa
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Dkt. Louis Chomboko, akitoa taarifa kwa Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Kangi Lugola(kulia) na Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,
Mhandisi Isaac Kamwelwe (katikati) ,juu
ya hali za majeruhi wa ajali waliolazwa katika
Hospitali ya Teule Mbalizi, ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni katika eneo la Mlima
Iwambi,jijini Mbeya.
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akisalimiana na watumishi wa afya baada ya
kuwasili Hospitali ya Teule Mbalizi, kuwajulia hali majeruhi wa ajali
iliyotokea katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya.
No comments:
Post a Comment