Advertisements

Saturday, July 7, 2018

SERIKALI YA NIGERIA YATUMA UJUMBE NCHINI KUJIFUNZA NAMNA WATANZANIA WANAVYOWEZA KUISHI KWA AMANI NA MBINU ZA MAFANIKIO YA RAIS DKT MAGUFUL

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi wa umma na Utawala Bora) Mhe. George Mkuchika akizungumza na ujumbe wa maafisa wa serikali kutoka Nigeria waliofika nchini kujifunza mbinu za mafanikio ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na namna uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa haraka, kujua namna Watanzania wanavyoweza kuishi kwa pamoja bila migogoro ingawa kuna makabila mengi nchini na pia kufahamu utamaduni na historia ya Tanzania na Utawala bora.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi wa Umma na Utawala Bora) Mhe. George Mkuchika akiwa katika picha ya pamoja baada ya kukutana na kuzungumza na ujumbe wa maafisa wa serikali kutoka Nigeria waliofika nchini kujifunza mbinu za mafanikio ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na namna uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa haraka, kujua namna Watanzania wanavyoweza kuishi kwa pamoja bila migogoro ingawa kuna makabila mengi nchini na pia kufahamu utamaduni na historia ya Tanzania na Utawala bora.

No comments: