Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara
na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) wakati Rais alipofika katika Ofisi
za Jumuiya hiyo kwa mazungumzo na Wanajumuiya hiyo Jakarta Indinesia
kwa mualiko wa Makamu wa Rais wa Nchi hiyo katika ziara ya kikazi ya
siku saba,(kulia) Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini
Malaysia pia akiiwakilisha Indonesia Balozi Ramadhan Kitwana Dau.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara
na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) wakati Rais alipofika katika Ofisi
za Jumuiya hiyo kwa mazungumzo na Wanajumuiya hiyo Jakarta Indinesia
kwa mualiko wa Makamu wa Rais wa Nchi hiyo katika ziara ya kikazi ya
siku saba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kushoto) akiwa katika mazungumzo ya pamoja na Jumuiya ya
Wafanyabiashara na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) wakati Rais
alipofika katika Ofisi za Jumuiya hiyo kwa mazungumzo na Wanajumuiya
hiyo Jakarta Indinesia kwa mualiko wa Makamu wa Rais wa Nchi hiyo katika
ziara ya kikazi ya siku saba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kushoto) akiwa katika mazungumzo ya pamoja na Jumuiya ya
Wafanyabiashara na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) wakati Rais
alipofika katika Ofisi za Jumuiya hiyo kwa mazungumzo na Wanajumuiya
hiyo Jakarta Indinesia kwa mualiko wa Makamu wa Rais wa Nchi hiyo katika
ziara ya kikazi ya siku saba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (wa pili kushoto) alipokuwa akiiuliza suala kwa Wafanyabiashara
na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) (hawapo pichani) wakati wazungumzo
yaliyofanyika jana katika Ofisi za Jumuiya hiyo ziliopo Mjini Jakarta
Indinesia katika ziara ya kikazi kwa mualiko wa Makamu wa Rais wa Nchi
hiyo katika ziara ya kikazi ya siku saba.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenyeviwanda ya Indonesia
(KADIN)Bw.Rosan P.Roeslan (kulia) pamoja na Viongozi wengine
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Jumuiya
hiyo jana katika ukumbi wa Ofisi hiyo uliopo Mjini Jakarta Indonesia
katika mkutano wa siku moja,katika ziara ya muaaliko wa Makamo wa Rais
Mohammed Jusuf Kalla.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Mwani ya ASOSIASI RUMPUT LAUT
INDONESIA (ARLI) Bw.Safari Azis mara baada ya Mkutano wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara na Wenyeviwanda katika Ofisi za Jumuiya hiyo Jakarta
Nchini Indonesia akiwa katika ziara ya Mualiko wa Makamo wa Rais wa nchi
hiyo Mohammed Jusuf Kalla,(katikati) Bw.HermanMoeliana Mkurugenzi Mkuu
waPT INTERA LESTARI POLIMER
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein ( kulia) alipokuwa akiangalia mifuko inayotengenezwa kwa kutumia
Unga wa Muhogo mara baada ya mazungumzo na Jumuiya ya Wafanyabiashara
na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN) katika Ofisi za Jumuiya hiyo
ziliopo Jakarta Indinesia akiwa katika ziara ya mualiko wa Indonesia
Mohamed Jusuf Kalla,wengine(kushoto) Viongozi wa Jumuiya ya
Wafanyabiashara na Wenyeviwanda ya Indonesia (KADIN). (Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment