Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangalla.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk.Hamis Kigwangalla amehamishiwa katika Hospitali ya ya Rufaa ya Selian, jijini Arusha kwa helkopta kutoka katika kituo cha afya cha Magugu, Manyara alipopelekwa baada ya kupata ajali.
No comments:
Post a Comment