Advertisements

Saturday, August 4, 2018

UPDATES: WAZIRI KIGWANGALLA AHAMISHIWA HOSPITALI YA SELIAN, ARUSHA

Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangalla.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk.Hamis Kigwangalla amehamishiwa katika Hospitali ya ya Rufaa ya Selian, jijini Arusha kwa helkopta kutoka katika kituo cha afya cha Magugu, Manyara alipopelekwa baada ya kupata ajali.
Mhe. Kigwangala akiwa na Bw. Hamza Temba (kulia) wakati wa uhai wake
 
Mhe. Kigwangala akiwa hospitalini akizungmza na simu yake ya mkononi

No comments: