Advertisements

Monday, November 12, 2018

WATALAAM WA TAASISI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI TANZANIA (GST) WAPOKEA TAARIFA YA MRADI WA JIOKEMIA KUTOKA KWA WATALAAM WA CHINA GEOLOGICAL SURVEY (CGS).

Watalaam wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (Geological Survey of Tanzania-GST) leo tarehe 10 Oktoba 2018 wakutana na watalaam kutoka taasisi ya jiolojia ya China (Geological Survey of China-CGS) kwa ajili ya uwasilishaji na upokeaji wa taarifa ya mradi wa Utafiti wa Jiokemia katika skeli kubwa na skeli ndogo yaani (Geochemical Mapping for High and Low Density) uliofanyika kwa ushirikiano baina ya serikali ya China na Tanzania.

No comments: