Advertisements

Tuesday, February 5, 2019

JENGO LA OFISI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE LASONGA KWA KASI DODOMA

Mafundi wakiwa katika harakati kuhakikisha kuwa jrengo linamalizika kwa wakati. 
LIinapendeza kweli kweli. 
Palasta inaendelea kupigwa. 
Kumenoga, tazama mwenyewe. 
Kazi nje na ndani. Usiku na mchana. Mtumba Oyeeeee.

No comments: