Advertisements

Friday, February 8, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Urambo, Margreth Sitta kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
 aziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi akizungumza na Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019.

 Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi (kulia) akiteta na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso, bungeni jijini Dodoma, Februari 8, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: