VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, February 2, 2019

WASANII WA FILAMU NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA WALEDI NA UFANISI KWENYE KAZI ZAO

 KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu wa mkoa wa Tanga
 KATIBU Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Joyce Fissoo akizungumza katika mafunzo hayo
 KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Mathew Bicco akizungumza katika mafunzo hayo
  Mwezeshaji wa Mada ya Uandishi wa Miswada ya Filamu Dkt Richard Ndunguru kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu mkoani Tanga.
 Msanii nguli wa Filamu mkoani Tanga akizungumza wakati wa mafunzo hayo kulia ni KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala
 Sehemu ya wasanii wa filamu mkoani Tanga wakifuatilia mafunzo hayo
 Sehemu ya wasanii wa filamu mkoani Tanga wakiwa kwenye mafunzo hayo
KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo hayo kulia ni  KATIBU Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Joyce Fissoo kushoto ni nKATIBU Mkuu wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Mathew Bicco
WASANII wa filamu hapa nchini wametakiwa kuhakikisha wanazingatia waledi na ufanisi mkubwa kwenye kazi zao ili ziweze kuwa chachu ya maendeleo kwa jamii zinazowazunguka kutokana na tasnia hiyo hivi sasa kuwa mkombozi kwenye jamii.

Hayo yalisemwa na Mwezeshaji wa Mwezeshaji wa Mada ya Uandishi wa Miswada ya Filamu Dkt Richard Ndunguru kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu mkoani Tanga.

Alisema kwamba sanaa inaweza kuwa tija kubwa ya maendeleo kwa wasanii kwa kutengeneza ajira nyingi na kuweza kuwakomboa iwapo wataizingatia na kuithamini kwa kuonyesha walezi kwenye kazi zao.

“Ndugu zangu wasanii labda niwaambie kwamba mkiwa makini kwenye kazi zenu na kuzingatia weledi mkubwa mnaweza kufika mbali kimafanikio kutokana na namna tasnia ya filamu hapa nchini iliyokuwa”Alisema.

Aidha alisema pia wasanii lazima watambue kwamba hawawezi kutengeneza filamu nzuri kama hawatakuwa na muda wa kutazama wenzao wanafanya nini kwani kupitia wenzao wanaweza kujifunza na kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa”Alisema.

“Labda pia niwaambie kwamba waledi kwenye kazi ya sanaa ni kitu muhimu sana inaweza kukupa maendelea makubwa kwa kuhakikisha mnaipenda na kuithamini “Alisema .

Naye kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Joyce Fisso alisema sekta ya filamu ni ya kiuchumi kutoka Tanzania ni ya pili kwa idadi uzalishaji ukilinganisha na nchi ya Nigeria lakini ukija kwenye pato la Taifa kidogo wanahitaji kuongeza nguvu.

Alisema bodi ya filamu imeweka mpango mahususi wa kuwajengea uwezo wadau wa filamu hapa nchini hususani kwenye maeneo ya kuboresha kazi zao ili ziwe kuwa na tija.

Aidha alisema hilo linatokana na baadhi ya wasanii hususani wanaochipukia kutokutambua namna ya kuweza kutengeneza kazi zao na kuweza kuzitangaza ili ziweze kuwa na manufaa makubwa kwao.


Mwisho



















at 10:00:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • Kura ya maoni Kenya yafanyika kwa amani
    Milolongo ya wapiga kura Shughuli ya kupiga kura ya maoni kupinga au kuunga mkono katiba mpya inayopendekezwa nchini Kenya imemalizika. Shug...
  • BOYZ II MEN PUT 'ONE UP FOR LOVE' -- WATCH-The Boombox
    AP Celebrating the 20th anniversary of their debut album 'Cooleyhighharmony,'  Boyz II Men released their new album 'Twenty...
  • KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA UASKARI MAGEREZA, KIWIRA MKOANI MBEYA
    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira(pichani Askari Wanafunzi wa Mafunzo ya Awali ya U...
  • Kaduma amrushia kombora JK, CCM
    Balozi Ibrahim Kaduma aliyekuwa Waziri katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere akizungumza katika mahojiano maalumu na ...
  • Michael Jackson's kids are mine and a DNA test will prove it, says Brit star Mark Lester
    Help: Jacko was desperate for children Brit actor Mark Lester has dramatically vowed to have DNA tests to prove he is the ­father of M...
  • Wanafunzi washinda danguroni Dar
    Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Majani ya Chai, Yasinta Assey akionyesha baadhi ya nguo na viatu vya wanafunzi vilivyokutwa katika eneo lin...
  • 2012 BET Hip Hop Awards: Kanye West, 2 Chainz & Drake Lead Nominees
    Christopher Polk, Getty The nominations for the 2012 BET Hip Hop Awards have finally been announced, with Kanye West  leading the nomin...
  • LUPITA NYONG'O NAMED MTV MAMA 2014 PERSONALITY OF THE YEAR & RECEIVES MAUI FILM FESTIVAL RAINMAKER AWARD.
    Lupita at the 2014 Maui Film Festival. Dress Fausto Puglisi Shoes Christian Louboutin Jewellery Vita Fede — in
  • SOLOMON YESU HAWALA
       Baada ya kutoroka kwao Namibia (ikiitwa South West Africa) kwa njia za panya hadi Botswana, aliendelea na safari hadi Zambia. Akiwa Zambi...
  • YA MOTO BAADA YA KUWAPAGAWISHA UK SASA NI ZAMU YA NEW YORK FRIDAY MAY 22. NA 23 DC
    YA MOTO BAND LIVE NEW YORK NA WASHINGTON DC. KWA UDHAMINI WA TEMBAPHOTO & 0VIJIMAMBO. KWA TAARIFA ZAIDI YA UJIO HUU ...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE