VIJIMAMBO

ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, February 2, 2019

WASANII WA FILAMU NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA WALEDI NA UFANISI KWENYE KAZI ZAO

 KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu wa mkoa wa Tanga
 KATIBU Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Joyce Fissoo akizungumza katika mafunzo hayo
 KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Mathew Bicco akizungumza katika mafunzo hayo
  Mwezeshaji wa Mada ya Uandishi wa Miswada ya Filamu Dkt Richard Ndunguru kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu mkoani Tanga.
 Msanii nguli wa Filamu mkoani Tanga akizungumza wakati wa mafunzo hayo kulia ni KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala
 Sehemu ya wasanii wa filamu mkoani Tanga wakifuatilia mafunzo hayo
 Sehemu ya wasanii wa filamu mkoani Tanga wakiwa kwenye mafunzo hayo
KAIMU Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Monica Kinala katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo hayo kulia ni  KATIBU Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Joyce Fissoo kushoto ni nKATIBU Mkuu wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Mathew Bicco
WASANII wa filamu hapa nchini wametakiwa kuhakikisha wanazingatia waledi na ufanisi mkubwa kwenye kazi zao ili ziweze kuwa chachu ya maendeleo kwa jamii zinazowazunguka kutokana na tasnia hiyo hivi sasa kuwa mkombozi kwenye jamii.

Hayo yalisemwa na Mwezeshaji wa Mwezeshaji wa Mada ya Uandishi wa Miswada ya Filamu Dkt Richard Ndunguru kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa sekta ya filamu mkoani Tanga.

Alisema kwamba sanaa inaweza kuwa tija kubwa ya maendeleo kwa wasanii kwa kutengeneza ajira nyingi na kuweza kuwakomboa iwapo wataizingatia na kuithamini kwa kuonyesha walezi kwenye kazi zao.

“Ndugu zangu wasanii labda niwaambie kwamba mkiwa makini kwenye kazi zenu na kuzingatia weledi mkubwa mnaweza kufika mbali kimafanikio kutokana na namna tasnia ya filamu hapa nchini iliyokuwa”Alisema.

Aidha alisema pia wasanii lazima watambue kwamba hawawezi kutengeneza filamu nzuri kama hawatakuwa na muda wa kutazama wenzao wanafanya nini kwani kupitia wenzao wanaweza kujifunza na kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa”Alisema.

“Labda pia niwaambie kwamba waledi kwenye kazi ya sanaa ni kitu muhimu sana inaweza kukupa maendelea makubwa kwa kuhakikisha mnaipenda na kuithamini “Alisema .

Naye kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Joyce Fisso alisema sekta ya filamu ni ya kiuchumi kutoka Tanzania ni ya pili kwa idadi uzalishaji ukilinganisha na nchi ya Nigeria lakini ukija kwenye pato la Taifa kidogo wanahitaji kuongeza nguvu.

Alisema bodi ya filamu imeweka mpango mahususi wa kuwajengea uwezo wadau wa filamu hapa nchini hususani kwenye maeneo ya kuboresha kazi zao ili ziwe kuwa na tija.

Aidha alisema hilo linatokana na baadhi ya wasanii hususani wanaochipukia kutokutambua namna ya kuweza kutengeneza kazi zao na kuweza kuzitangaza ili ziweze kuwa na manufaa makubwa kwao.


Mwisho



















at 10:00:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

DJ Luke Joe

DJ Luke Joe

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

TANZANIA BLOGGERS' NETWORK

IskaJoJo Studios

IskaJoJo Studios

BEST MUSIC,BEST RATES

BEST MUSIC,BEST RATES
Music From The Past To The Present

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

RADIO YA UMOJA WA MATAIFA
TAARIFA YA HABARI & VYOMBO VYA HABARI

GENN RADIO

GENN RADIO
LISTEN LIVE

Clouds FM

Clouds FM
LISTEN LIVE

Radio Mbao

Radio Mbao
LISTEN LIVE

TONE ONLINE RADIO

TONE ONLINE RADIO
LISTEN LIVE

MJ RADIO

MJ RADIO
LISTERN ONLINE NOW

BONGO FLEVA

Tafuta

Kumbukumbu

Wadau

Tovuti na Blog Nyingine

  • 24 SEVEN 365
  • AL JAZEERA
  • BBC
  • BONGO CELEBRITY
  • BONGO STAR LINK
  • CHANGAMOTO YETU
  • CHEKA UPASUKE
  • CNN
  • DAILY NATION
  • DAILY NEWS
  • DINA MARIOS
  • DMK 411 BLOG
  • EBONY MAGAZINE
  • FACEBOOK
  • FIRST ROW SPORTS
  • FOX SOCCER
  • FULL SHANGWE
  • GENN MEDIA BLOG
  • GLOBAL PUBLISHERS
  • GSENGO BLOG
  • GUARDIAN UK
  • HABARI LEO
  • HAKI NGOWI
  • HIP HOP NEWS
  • IPP MEDIA
  • ISKAJOJO
  • JAMII BLOG
  • JIACHIE
  • K-VIS BLOG
  • KAHAWA TUNGU
  • KAMUSI
  • KITIME
  • KULIKONI
  • LADY JD
  • LILY MELODYY BLOG
  • LUNINGA
  • MAGANGA ONE
  • MAJIRA
  • MAMBOJAMBORADIO
  • MATUKIO
  • MAWASILIANO IKULU
  • MBEYA YETU
  • MICHUZI
  • MISS JESTINA GEORGE BLOG
  • MO BLOG
  • MOHAB MATUKIO
  • MTAA KWA MTAA BLOG
  • MWANANCHI
  • NAIROBI NEWS
  • NATION
  • NEW YORK TIMES
  • OTHMAN MAULID BLOG
  • PROFA
  • RAIA MWEMA
  • RED PEPPER
  • SAUTI TOKA NYIKANI
  • SHALUWA
  • SHAMIM
  • SPORT STAREHE
  • SPORTS SITE
  • STORM FM GEITA
  • SUBSONIC
  • SUFIANI MAFOTO
  • SUNDAY SHOMARI'S BLOG
  • SUPER SPORT
  • SWAHILI NA WASWAHILI
  • SWAHILI TV
  • SWAHILI VILLA
  • TAIFA JIPYA
  • TANZANIA BUSINESS DIRECTORY
  • TANZANIA DAIMA
  • TANZANIA GLAMOUR
  • TANZANIA HOTELS,WILDLIFE SAFARIS & CHEAP FLIGHTS
  • TAWICHITA
  • TEKNOHABARI
  • THA FUNK HOUSE
  • The Embassy of the United Republic of Tanzania in the United States
  • THE GLOBE AND MAIL
  • THE MONITOR
  • THE STANDARD
  • TMZ
  • TUNYFISH
  • TZMOMS
  • UHURU
  • UTNC
  • VOA-SWAHILI
  • WASHINGTON POST
  • WAVUTI
  • ZIMBIO

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

  • Diaspora marufuku kumiliki ardhi nchini Tanzania
    Tanzanians in the Diaspora continue to grapple with challenges that have seen most members either defrauded or lose confidence that th...
  • CESILIA FRANCIS AFANYA MNUSO WA KUJIPONGEZA
    Cesilia Francis akiingia ukumbini siku ya Ijumaa May 6, 2016 Clinton, Maryland Cesilia Francis akipata ukodak na mumewe. Cesilia...
  • UNITED STATES CONDEMNATION OF TANZANIA ELECTORAL PROCESS LACKS MORAL COMPASS.
    By Mohamed Matope Yesterday, the American Ambassador expressed great concern about the Tanzanian electoral process leading to the upcomi...
  • MAPENZI NOMA DIAMOND ANASWA.AKIBEBESHWA POCHI NA ZARI
    Baada ya Diamond Platinumz a.k.a Chibu kunaswa na camera akiwa amembebea mkoba wa mpenzi wake Zarri Hussein, jiulize je wanaume wangapi t...
  • AMERICA AND THE GUN CULTURE
    BY MOHAMED MATOPE Last Monday America suffered the deadliest mass shooting in modern American history. A gunman rained down thou...
  • JK AMTAJA MUHUSIKA WA RICHMOND
    Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richm...
  • RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AMTAMBULISHA MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU KWA RAIS WA CHINA MHE. XI JINPING, JIJINI JOHANNESBURG
    Rais Mstaafu wa awamu Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu...
  • MSIKILIZE MGOMBEA WA URAIS DMV LIBERATUS MWANG'OMBE ALIVYOUNGURUMA MEADOWBROOK PARK
    Mchungaji Malekela akifungua mkutano wa mgombea wa urais DMV kwa maombi siku ya Jumamosi June 28, 2014 Meadowbrook Park, Chevy Chase, M...
  • NJIA 60 ZA KUMFURAHISHA MUMEO.
    Katika mada yangu ya “njia 60 za kumfurahisha mkeo” niliahidi kuendelea na maudhui hii kwa kuwaletea mada ya “kumfurahisha mumeo”. Natanguli...
  • HARAMBEE YA MSIBA HOUSTON, TEXAS NA TANZANIA
    Marehemu Edmund Mushi  enzi za uhai  wake Kama tulivyoahidi hapo awali kwamba taarifa zaidi zitafuata. Harambee kwa ajili ya kuchangisha...

LIVE TRAFFIC FEED

© 2015 Vijimambo - All Rights Reserved
Powered by Blogger.

HIT COUNTER BY GOOGLE