Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo akizungumza na wachezaji kabla ya kuanza kwa mechi ya uzinduzi kati ya timu mojawapo kitoka nchini Kenya na Tanzania katika uwanja wa Kumbukumbu ya Shekh Amri Abeid Karume Jijini Arusha.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo akikagua timu pamoja na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kabla kuanza kwa mechi ya uzinduzi kati ya timu mojawapo kitoka nchini Kenya na Tanzania katika uwanja wa Kumbukumbu ya Shekh Amri Abeid Karume Jijini Arusha.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo akisalimiana na wachezaji kabla ya kuanza kwa mechi ya uzinduzi kati ya timu mojawapo kutoka nchini Tanzania katika uwanja wa Kumbukumbu ya Shekh Amri Abeid Karume Jijini Arusha.
Wenyeji Tanzania wakipita mbele ya mgeni rasmi tayari kwa kushiriki mashindano ya FEASSSA 2019 Jijini Arusha.
Wenyeji Tanzania wakipita mbele ya mgeni rasmi tayari kwa kushiriki mashindajo ya FEASSSA 2019 Jijini Arusha.
Washiriki kutoka nchini Kenya wakiwa tayari kushiriki mashindano ya FEASSA Jijini Arusha.



No comments:
Post a Comment