ANGALIA LIVE NEWS

Monday, September 2, 2019

WAKUU WA MIKOA WATAKIWA KUHARAKISHA OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shighela (Kushoto) wakati akikagua moja ya itakayokuwa ofisi ya Ardhi mkoa wa Tanga wakati ziara yake katika mkoa huo mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daud Mayeji.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Mipago Miji Ofisi ya Ardhi Kanda ya Kaskazini Nickson Mjema (Kulia) wakati akikagua moja ya sehemu ya kuhifadhia nyaraka za ardhi wakati akikagua inayotarajiwa kuwa ofisi ya ardhi mkoa wa Tanga akiwa katika ziara yake mkoani humo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shighela.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akitekeleza majukumu katika gari yake wakati wa ziara yake mkoani Tanga mwishoni mwa wiki. Wa pili kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shighela, wa tatu kushoto ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daud Mayeji na wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Idara ya Mipago Miji Ofisi ya Ardhi Kanda ya Kaskazini Nickson Mjema (Kulia).(PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)

No comments: