ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, September 26, 2019

WAZIRI MKUU AZUNGUMZA NA WATUMISI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI NA HALMASHAURI YA MAFINGA MJI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri za Mafinga Mji na Mufindi kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mafinga Mji, Septemba 26,2019. Yuko katika ziara ya kikazi mkoani Iringa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: