
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia jana tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita

No comments:
Post a Comment