ANGALIA LIVE NEWS

Friday, May 22, 2020

SIMBA SC, TAASISI YA MO DEWJI WATOA MSAADA HOSPIATLI YA TAIFA MUHIMBILI, MOI NA JKCI KUPAMBANA NA CORONA

Simba Sports Club Kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation imekabidhi msaada wa lita 500 za sabuni na vipukusi (sanitizers) pamoja na kufanya uzinduzi wa eneo la kunawia mikono lililojengwa na taasisi ya Mo Dewji Foundation kwenye maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa (MOI)l na Taasisi Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Lengo la msaada huo ni kusaidia kupambana na ugonjwa wa corona.

No comments: