
Simba Sports Club Kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation imekabidhi msaada wa lita 500 za sabuni na vipukusi (sanitizers) pamoja na kufanya uzinduzi wa eneo la kunawia mikono lililojengwa na taasisi ya Mo Dewji Foundation kwenye maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa (MOI)l na Taasisi Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Lengo la msaada huo ni kusaidia kupambana na ugonjwa wa corona.

No comments:
Post a Comment