
Erick Mapunda Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali Watu Bohari ya Dawa (MSD) akisikiliza Meneja wa Mawasiliano Bohari ya Dawa MSD Bi. Etty Kusiluka akuzungumza na waandishi na kutoa utaratibu wa namana ziara itakavyofanyika kiwandani hapo kabla ya waandishi kuanza kutembelea mradi huo, , Kulia ni Catherine Sungura Mratibu wa Shughuli za Maendeleo Mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani kutoka Wizara ya Afya na kushoto ni Shiwa Mushi Mhandisi Msimamizi Miradi ya Viwanda MSD.

Erick Mapunda Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali Watu Bohari ya Dawa (MSD) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza ziara ya kutembelea kiwanda cha Bohari ya Dawa MSD kinachojengwa eneo la Idofi Makambako mkoani Njombe kutoka kulia ni Catherine Sungura Mratibu wa Shughuli za Maendeleo Mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani kutoka Wizara ya Afya, Meneja wa Mawasiliano Bohari ya Dawa MSD Bi. Etty Kusiluka na kushoto ni Shiwa Mushi Mhandisi Msimamizi Miradi ya Viwanda MSD.

Shiwa Mushi Mhandisi Msimamizi Miradi ya Viwanda MSD akitoa maelezo kwa waandishi wa habari waliotembelea kiwanda cha dawa cha Idofi Makambako mkoani Njombe wakati walipotembelea kwanda hicho na kujionea shughuli za ujenzi zinavyoendelea kiwandani hapo.


Shiwa Mushi Mhandisi Msimamizi Miradi ya Viwanda MSD akionesha kwa waandishi wa habari mitambo ambayo imeshafungwa kiwandani hapo tayari kwa ajili ya kuanza shughuli za uzalishaji.



Baadhi ya mitambo inavyoonekana.


Baadhi ya mafundi wakiendelea na kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo.


Baadhi ya kitambo ya kusafisha na kuangalia ubora wa vifaa tiba.

Mtambo kwa ajili ya gesi ya kuendeshea baadhi ya mitambo kiwandani hapo.

Moja ya Majengo ya kiwanda hicho linavyoonekana.

Moja ya nyumba za watumishi wa kiwanda hicho.
No comments:
Post a Comment