ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, July 19, 2022

RAIS WA ZANZIBAR DK.HUSSEIN MWINYI AMEWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA WILAYA NA MADARASA YA SKULI YA MSINGI YANAYOJENGWA KWA FEDHA ZA UVIKO -19

  

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionda pazia kuashiria kuwe Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Madarasa Manne ya Skuli ya Msingi Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa, na (kulia kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja Mhe. Sadifa Juma na Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakitembelea moja ya Darasa kati ya Manne aliyoyafungua leo ya Skuli ya Msingi ya Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja akiwa katika ziara yake katika Wilaya hiyo iliyoaza leo 19-7-2022.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzungumza na Wananchi na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Makwajuni wakati wa ufunguzi wa Madarasa Saba ya Skuli hiyo yaliojengwa kupitia Fedha za Uviko -19, akiendelea na ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Wilaya hiyo.(Picha na Ikulu)


MUNEKANO wa Madarasa Manne ya Skuli ya Msingi Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja yaliyofanyika ukarabati na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.,Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake katika Wilaya hiyo iliyoaza leo 19-7-2022.(Picha na Ikulu)
WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwahutubia baada ya kufungua Madarasa Saba mapya yaliojengwa kupitia fedha za Uviko -19, wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo kutembelea Miradi ya Maendeleo.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Mohammed Mussa akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mradi wa Ujenzi wa Madaasa Saba mapya ya Skuli ya Msingi Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja yaliojengwa kupitia Fedha za Uviko -19, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo 19-7-2022.(Picha na Ikulu)



 

No comments: