Saturday, August 17, 2024

RAIS WA ZANZIBAR DKT. HUSSEIN MWINYI AJUMUMUIKA NA WANANCHI KATIKA KISOMO CHA HITMA NA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU WALID FIKIRINI


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mtoto wa Marehemu Walid Fikirini,aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar,Mohammed Walid Fikirini alipowasili katika viwanja vya Masjid Muzdalifah Bububu Wilaya ya Magharibi “A” Unguja kuhudhuria Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea iliyofanyila leo 17-8-2024, katika msikiti huo baada ya Sala ya Alasiri
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam na Wanafamilia ya Marehemu Walid Fikirini, aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar,katika kisomo cha hitma na dua ya kumuombea, iliyofanyika leo 17-8-2024, katika Masjid Muzdalifah Bububu Wilaya ya Magharibi “A” Unguja

WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakijumuika katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Walid Fikirini aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Masjid Muzdalifah Bububu Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 17-8-2024





No comments: