Friday, January 28, 2011

RATIBA YA MKUTANO WA MHE. BALOZI - WASHINGTON METRO 29/01/2010

    RATIBA  YA MKUTANO KATI YA MHE BALOZI MWANAIDI SINARE MAAJAR NA WATANZANIA WAISHIO  WASHINGTON METRO 29/01/2010
    MUDA
    TUKIO
    MHUSIKA/WAHUSIKA
    10.00 JioniKuwasili kwa wajumbe wa mkutano na kujiandikishaKamati ya Ubalozi, Love Maganga
    10.55 Jioni
    • Mhe Balozi kuwasili
      ukumbini, kusalimiana na kuelekea meza kuu na kusimama
    • Wimbo wa Taifa kuimbwa
    • Wimbo wa Tanzania Tanzania
      kuimbwa
    • Balozi kutambulishwa
      rasmi kwa watanzania
    • Balozi kuwatambulisha
      maafisa na watumishi wa Ubalozi watakaokuwepo na wasiokuwepo
    Kamati ya Ubalozi,
    11.10 JioniM/kiti wa kamati kumkaribisha
    Balozi ili atoe hotuba yake
    M/kiti wa kamati,
    11.40 JioniHotubaBalozi
    11.40 JioniKuchagua mwenyekiti na katibu
    wa kikao
    kamati
    12.00 Jioni
    mpaka
    1.00 Usiku
    Kuchagua wajumbe wa kamati ya kuandaa katiba na uchaguzi wa jumuiyaWajumbe wa Mkutano (Watanzania)
    1.10 UsikuNeno la shukurani kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati ya kuandaa katiba na uchaguzi wa jumuiya ya watanzania. Wajumbe wa Kamati ya Jumuiya
    1.15 UsikuChakula na vinywajiUbalozi
    9.00 UsikuBalozi kuondokaKamati

No comments: