Sunday, January 30, 2011

U-kodak Moment na Mh.Balozi Mwanaidi Maajar

Mh.Balozi(shoto) akiwa kwenye picha na Prof.Julius Nyang'oro(kulia),Yusuf Nyang'oro(aliye kaa kati) na aliyesimama ni Danny Kaswamila
Mh.Balozi(wa pili toka kulia)kwa pamoja wakipata picha ya ukumbusho na Kanumba(the Great-kulia),Mzee Yusuf Kalala(kati) Aunt Sharifa Kalala na Baba mweye nyumba wake Salma.
juu na chini ni Wadau wa DMV wakipata U-kodak Moment na Mh.Balozi

No comments: