Thursday, July 18, 2013

MAKAMU WA RAIS DK. MOHAMMED GHARIB BILAL AWASILI LEO JIJINI DAR ES SALAAM AKITOKEA NCHINI NIGERIA

IMG_0061Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiteremka kwenye ndege GF1 alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam akitokea Nchini Nigeria alikohudhuria mkutano wa Umoja wa Afrika uliojadili mbinu za kukabiliana na Ukimwi, Malaria na kifua kikuu ambapo aliwaambia wajumbe wa mkutano huo kuwa Tanzania itafikia malengo ya Umoja wa Afrika iliyojiwekea katika kukabiliana na Magonjwa hayo, mkutano huo ulimalizika jana July 17-2013 mjini Abuja Nchini Nigeria IMG_0065Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal akipokelewa na baadhi ya viongiz wa serikali baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam leoIMG_0067 IMG_0068Msafara wa  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib ukondoka uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam . Makamu wa Rais ametokea nchini Nigeria  alikohudhuria mkutano wa Umoja wa Afrika uliojadili mbinu za kukabiliana na Ukimwi, Malaria na kifua kikuu. Picha na OMR

No comments: