Balozi Mwanaidi Maajar Timu ya Vijimambo inakutakia kheri ya siku ya kuzaliwa
1 comment:
Anonymous
said...
mungu akubarik sana tena sana katika siku yako ya leo kwa kweli ulikuwa balozi imara na msikilivu si balozi rege rege na ulikuwa si muuga humuogopi mtu unatenda haki kwa wote. nakukumbuka mpaka hii leo na natamani ningekujua zaidi balozi wangu. mimi ni mtanzania mmoja wapo sitosahau kazi yako njema katika ubolozi wetu hapa Washington
mungu akubariki sana na kila la kheir na azidi kukupa maisha mema yenye furaha tele.
1 comment:
mungu akubarik sana tena sana katika siku yako ya leo kwa kweli ulikuwa balozi imara na msikilivu si balozi rege rege na ulikuwa si muuga humuogopi mtu unatenda haki kwa wote.
nakukumbuka mpaka hii leo na natamani ningekujua zaidi balozi wangu.
mimi ni mtanzania mmoja wapo sitosahau kazi yako njema katika ubolozi wetu hapa Washington
mungu akubariki sana na kila la kheir na azidi kukupa maisha mema yenye furaha tele.
amen ya rabbi laalameen
happy birthday to you honorable balozi.
Post a Comment