Friday, January 8, 2016

SAZI SALULA KATIBU MKUU WA ZAMANI OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKABIDHI OFISI

Aliyekuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula (katikati), akikabidhi Ofisi kwa Katibu Mkuu mpya , Bwana Mbarak Abdulwakil jijini Dar es Salaam leo, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu mpya Mhandisi Ngosi Mwihava.
Aliyekuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bwana Sazi Salula (kushoto), akikabidhi Ofisi kwa Katibu Mkuu mpya Bwana, Mbarak Abdulwakil jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR)

No comments: