Friday, January 8, 2016

WADAU WA SIASA MNA MAMBO HEBU SOMA HII

Mweshimiwa Raisi mstahafu JK,alimtembelea Raisi Magufuli Ikulu,walihitimisha mazungumzo yao kama ifuatavyo.

Kikwete: Raisi mimi nimekuja kukuletea wazo moja kubwa,

Magufuli: Ndiyo mweshimiwa ,wazo lipi hilo?

Kikwete: Unajuwa wewe umebobea kwenye mambo ya ndani ya nchi,mimi ni mkongwe wa mambo ya nje,sasa kwa nini tusiungane ,mimi nikushikie kazi zako za mataifa ya nje .

Kikwete:Maana itakuwa kama timu yenye washambuliaji Ronaldo na Mesi pamoja.

Magufuli: Hilo ni wazo zuri sana,nalikubali bila kikwazo chochote…lakini nina pendekezo moja.

Kikwete: Hahaaaa…nashukuru kwa kuliunga mkono wazo langu….pendekezo gani ulilo nalo?

Magufuli : Ukisafiri nje kuiwakilisha serikali yangu ,ujilipie gharama zote kutoka mfukoni kwako.

2 comments:

Anonymous said...

DUUUUUUUU,hii kali,JK anamisi kusafiri

Anonymous said...

ha ha haaaaa dah watu bana