Advertisements

Wednesday, March 1, 2017

MWANAMITINDO NGULI NA WA KIMATAIFA ASYA IDAROUS KHAMSINI ANAGESHA SIKU YA SWAHILI DMV

Mmoja kati ya warembo waliovalia vivazi vya mwanamitindo nguli na wa kimataifa Asya Idarous Khamsini akipata picha kwenye siku ya Swahil iliyofanyika Hampton Inn College Park, Maryland siku ya Jumapili Feb 26, 2017 na kuhudhuriwa na watu kibao. Katika tamasha hilo ambalo ndio ilikua kwa mara ya kwanza kuanzishwa likiwa limeratibiwa na Bwn. Mgaza ambaye amesema litakua likifanyika kila mwaka.
 Watatu toka kushoto ni mwanamitindo nguli na wa kimataifa Asya Idarous Khamsini akipata picha ya pamoja na wadau wa DMV kutoka kushoto ni Mayor Mlima, Joha Nyang'anyi, Dedi Luba, Terry Shomari na Asha Hariz.
 Watatu toka kushoto ni mwanamitindo nguli na wa kimataifa Asya Idarous Khamsini akiwa katika picha ya pamoja na tano ladies. Kutoka kushoto ni Tuma Kaisi, Asha Nyang'anyi, Jska Jojo na Asha Hariz

No comments: