Advertisements

Tuesday, June 20, 2017

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA HAI ASHIKILIWA NA POLISI KWA SAA TANO BAADA YA KUMALIZA KIKAO CHA BARAZA

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Hela Mchomvu (Kulia) akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kwa ajili kuongoza kikao cha baraza hilo.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo.
Mwenyekiti wa Baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai,Hela Mchomvu akiteta jambo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Yahana Sintoo wakati wa kikao cha baraza la Madiwani.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akizungumza wakati wa kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.
Baadhi ya Madiwani wanaounda baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao cha baraza hilo.
Diwani Harry Masakia akisoma kanuni za kudumu za Halmashauri wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akitoka nje ya ukumbi wa mikutno mara baada a kuhairisha kikao cha baraza hilo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,akizungumza na askari Polisi waliokuwa nje ya ukumbi wakimsubiri kwa ajili ya kumfikisha kituo cha Polisi.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akiongozana na askari Polisi wakati akilekea ofsiini kwake.
Askari Polisi wakiomngojea Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu nje ya ofisi yake .
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akieleka kito cha Polisi huku  akisindikizwa ana askari Polisi.
Mwenyekiti wa Halmahauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akiingia kituo cha Polisi Bomang'ombe.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.

No comments: