Advertisements

Monday, April 15, 2019

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA KIKAO CHA WAWEKEZAJI NA WADAU WA MIFUKO MBADALA WA PLASTIKI JIJINI DAR ES SALAAM.

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiongea wakati wa Kikao kilichokutanisha Wadau na Wazalishaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre jijini Dar es Salaam.
  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiwa pamoja na Waziri waNchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki, Waziri wa Viwanda na Biashara Joseph Kakunda wakati wa kikao Wadau wa uzalishaji na uwekezaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wadau wa uzalishaji na uwekezaji katika mifuko mbadala wa plastiki waliohudhuria kikao hiko katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Kikao hiko kiliandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiteta jambo na  Waziri waNchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki wakati wa kikao cha Wadau na Wawkezaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika jijini Dar es Salaam. 

No comments: