Advertisements

Friday, July 19, 2019

RAIS DKT MAGUFULI AREJEA DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wahudumu wa ndege iliyomchukua baada ya kuteremka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam asubuhi leo Ijumaa Julai 19, 2019 akitokea jijini Dodoma. PICHA NA IKULU

No comments: