Advertisements

Monday, September 2, 2019

AJALIWA AZUNGUMZA NA RAIS WA AFRECO NCHINI JAPAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Rais wa The Association of African Economy and Development in Japan (AFRECO), Bw. Tetsuro Yano (kushoto) na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Mipango, Utawala na Fedha, Profess Donald Mpanduji (kulia) wakishikana mikono ikiwa ni ishara ya makubaliano yanayolenga kuboresha hospitali ya Chuo Kuu cha Dodoma ya Benjamin Mkapa kati ya Chuo hicho na AFRECO baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan, Septemba 1, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa The Association of African Economy and Development in Japan (AFRECO), Bw. Tetsuro Yano kabla ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya Yokohama Bay nchini Japan September 1, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: