Advertisements

Sunday, October 13, 2019

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI NA WATENDAJI WA SMZ PEMBA AKIWA KATIKA ZIARA YAKE

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Watendaji wa SMZ Kisiwani Pemba katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Pemba, kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali ya Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe.Haji Omar Kheri.mkutano huo umefanyika leo wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Watendaji wa SMZ Kisiwani Pemba wakati wa ziara yake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Pemba, kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Issa Haji Gavu, Mke wa Rais wa Zanzibar.Mama Mwanamwema Shein na Mshauri wa Rais Pemba.Mhe. Maua Abeid Daftari.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe.Haji Omar Kheri, akizungumza wakati wa Mkutano na Watendaji wa Wizara za SMZ Kisiwani Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makoyo Wawi Pemba.
 WAZIRI wa Nchi Ofisa ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Gavu, akizungumza na Watendaji wa Wizara za SMZ Kisiwani Pemba kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Pemba.
 MAAFISA wa Vyombo vya Usalama Kisiwani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.MheDk. Ali Mohamed Shein, wakati wa mkutano wake na Watendaji wa SMZ uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makoyo Wawi Pemba.(Picha na Ikulu) 
 MAAFISA Wadhamini na Watendaji wa SMZ wakimsikiliza Rais wa Zanzibar nac Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makoyo Wawi Pemba

No comments: