Advertisements

Thursday, November 25, 2021

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 20 WA TAASISI ZA FEDHA NCHINI ULIOANDALIWA NA BOT JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba,akizungumza wakati wa Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof.Florens Luoga,akitoa taarifa wakati wa Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, ambaye ni Mwenyekiti wa umoja wa Mabenki Tanzania Bw.Abdulmajid Nsekela,akitoa salamu wakati wa Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wakifatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,(hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akiwa katika picha mbalimbali mara baada ya kufungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha nchini ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) leo November 25,2021 jijini Dodoma.

No comments: