Saturday, February 17, 2024

RAIS DKT. MWINYI AJUMUHIKA NA WANANCHI KATIKA IBADA YA SALA YA IJUMAA MSIKITI MAKUTI KISIWANDUI


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini alipowasili katika viwanja vya Msikiti Makuti Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kuhudhuria Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika msikiti huo leo 16-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti Makuti Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti Makuti Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-2-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mtoto Fahiri Said, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti Makuti Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto wa Mtaa wa Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 16-2-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya iliyofanyika katika Msikiti Makuti.

No comments: