Advertisements

Friday, April 26, 2024

RAIS RUTTO AWASILI NCHINI KWA SHEREHE ZA MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Rais wa Jamhuri ya Kenya Mh. William Samoei Rutto akipokewa na Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde wakati alipowasili nchini Tanzania kwa ajili ya kushiriki katika maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

No comments: