Advertisements

Thursday, May 2, 2024

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KIKAMILIFU SHEREHE ZA MEI MOSI DODOMA


Kamishna Msaidizi wa Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bi. Dionesia Mjema, (katikati) akiongoza maandamano ya watumishi wa Wizara hiyo wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa katika Viwanja vya Jamhuri, jijini Dodoma, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”
Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. Mbayan Saruni (katikati) akiteta jambo na baadhi ya watumishi walioshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa katika Viwanja vya Jamhuri, jijini Dodoma, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Fedha wakiwa wakiwa tayari kushiriki Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa katika Viwanja Viwanja vya Jamhuri, jijini Dodoma, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Fedha wakiwa katika maandamano wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kwa ngazi ya Mkoa katika Viwanja vya Jamhuri, jijini Dodoma, yakiwa na kaulimbiu ya “Nyongeza ya mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”

No comments: