Saturday, July 20, 2024

RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA MACHIFU WA TANZANIA IKULU CHAMWINO DODOMA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Machifu kutoka Mikoa mbalimbali nchini katika viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye viwanja vya Ikulu kwa ajili ya kuzungumza na Machifu kutoka Mikoa mbalimbali nchini, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Machifu Kitaifa, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Machifu kutoka Mikoa mbalimbali, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia baadhi ya Machifu kutoka Mikoa mbalimbali mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.
Viongozi wa Machifu Tanzania wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Julai, 2024.

No comments: