ANGALIA LIVE NEWS

Monday, March 22, 2010

Baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wanaounda kikundi cha TANZIBAT 1 wakipaanda  kwenye ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa  Mwalimu Julius Nyerere juzi tayari kwa safari ya kwenda kwenye ulinzi wa Amani katika jimbo la Darfur Nchini Sudan. Jumla ya askari wapatao 600 hadi leo watakuwa wameshaondoka kuungana na wengine katika jukumu la ulinzi ambapo wanatarijwa kufanyakazi kwa kipindi cha mwaka mmoja. (Picha na Alex Malima wa JWTZ)
Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania(JWTZ) wanaounda kikundi cha TANZIBAT wakipanda ndege kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,tayari katika safari ya kwenye kwenye ulinzi wa amani katika jimbo la DARFUR nchini Sudan.Jumla ya askari wapatao 600 hadi leo watakuwa wameishaondoka kuungana na wenzao katika jukumu la ulinzi ambapo wanajarajiwa kufanya kazi kwa kipindicha mwaka mmoja(picha na Alex Malima wa JWTZ).picha hii imetoka kwenye Gazeti HabariLeo feb 12 2010

No comments: