ANGALIA LIVE NEWS
Monday, June 14, 2010
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wanafunzi wanaosoma katika vyuo vikuu vilivyopo Dodoma. Wanafunzi hao waliandamana kumuunga mkono kuchukua fomu kugombea nafasi ya urais wa Tanzania. (Picha na Freddy Maro).
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment