ANGALIA LIVE NEWS

Monday, July 26, 2010

Inawezekana Kurekebisha

Kuanguka kwa wire mbona kurekebisha ni rahisi tena

Bumper zinapokwisha dukani,aaah mbona rahisi sana,kurekebisha,najengea mbao
Siku mayaya wanapogomea kazi,hii mbona inarekebishika kirahisi

Siku ukiikuta gari yako kwenye mawe,unaweza kurekebisha tatizo na gari likaendesheka

wiper zikifa,humuhitaji fundi,unarekebisha poa

Kofi machine yako ikifa wala usikonde Kofi lazima inyweke

Siku Bongo watakapo piga marufuku LHD,wala hakuna Shida hii kitu inarekebishika kirahisi
Dish lako likiwa linaleta matatizo wakati wa mvua,unarekebisha vizuri tu

Siku unapokosa GPS,mbona inarekebishika 
unapokosa cooler,hii ndio rahisi sana kurekebishika

unaibiwa Redio ya gari,hii inarekebishika

unapokosa opener, hii inarekebisha
Umeme unapo korofisha,unarekebisha poa kabisa

Plazima ukikosa pakuning'iniza,unarekebisha namna hii tu

Unapokosa kijiko,wala usikonde
Mkanda wa gari ukiharibika wala usipateshida,inarekebishika

No comments: