ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 16, 2010

Leo ni Yanga na Simba Houston,TX

Kutakua na mechi ya kukata na shoka leo Jumamosi,Oct 

16,Houston,TX,kati ya watani wa jadi,Simba na 

Yanga,Mpambano 

unatarajiwa kuwa mkali kutokana na mashabiki wa timu zote 

mbili kutambiana na kila mtu kudai 

kuibuka na ushindi,mpmbano 

huu utaenda sambamba na kipute  cha Yanga na Simba wa 

ukweli,Tanzania ambao wanacheza leo kirumba mwanza.

mechi hii ya Houston itachezewa 

10570 Westpark Dr,
Houston,TX,77042

Mechi inatarajiwa kuanza saa 10 jioni(4:00pm)

Nyote mnakaribishwa

No comments: