ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, January 2, 2011

Millenium Club mambo ya New Year

Dj Babu wa T.O.D. akipagawisha Millenium Club Jumamosi siku ya kwanza mwezi wa kwanza mwaka elfu kumi na kwanza
Wadau wakifurahia mwaka ndani ya Millenium Club
VIP ya kisasa inayolingana na hadhi yako iliyopo Millenium kweli mwaka mpya na mambo mapya
Wadau wakipagawika na mipagawisho ya T.O.D. na Dj Kay Jumamosi ya mwaka mpya.Kwa picha zaidi Bofya Read More

No comments: