Madaktari Bingwa kutoka Nchi 45 Duniani ambao wamefanya uchunguzi wa takribani miaka kumi,wamesema asilimia kubwa ya watumiaji simu za mkononi wanauwezekano mkubwa wa kupata Cancer ya ubongo.
Madaktari hao walipendekeza njia za kufuata unapoongea na simu yako ya mkono
1.hakikisha unapoongea unatumia Hands Free Device
2. Texting ni salama au kuongea kwa kutumia Speaker
3.Kuongea kwa kuweka simu mbali na sikio
No comments:
Post a Comment