ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, July 31, 2011

FC BARCELONA 1-2 MANCHESTER UNITED,MECHI YA KIRAFIKI

Nani #17 of  Manchester United celebrates scoring a first half goal against Barcelona during a friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland.
Nani # 17 mchezaji wa Man U akishangilia goli katika kipindi cha kwanza alilofunga dhidi ya FC barcelona kwenye mechi ya kirafiki iliyochezewa uwanja wa Fedex.Landover,Maryland,July,30,2011
NBA basketball player Kobe Bryant kicks a soccer ball during half time of the Manchester United and Barcelona friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa L A LAKERS,Kobe Bryant akionyesha naye yumo kwenye mpira wa miguu hii ilikua wakati wa mapumziko kwenye mechi ya kirafiki ya Man U na FC Barcelona mechi iliyochezewa uwanja wa Fedex,Landover,Maryland
Fans cheer before the start of the  Manchester United and Barcelona friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland.
Mashabiki wa FC Barcelona waliofika kushuhudia mpambano huo
Jonathan dos Santos #18 of Barcelona heads the ball in front of Wayne Rooney #10 of Manchester United during a friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland.
Jonathan dos Santos #18 wa FC Barcelona akipiga kichwa mbele ya Wayne Rooney # 10 wa Man U
Chris Smalling #12 (L) celebrates with teammate Michael Owen #7 (R) of Manchester United after Owen scored against Barcelona during the second half of a friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland. Manchester United won 2-1.
Chris Smalling #12 (shoto) akimpongeza Michael Owen #7 (wa pili kutoka shoto) huku wachezaji wengine wa Man U wakitabasamu,Michael Owen ndie aliyefunga goli la pili la Man U,kipindi cha pili
Thiago Alcantara #4 of  Barcelona celebrates his second half goal with teammate Jonathan dos Santos (R) against Manchester United during a friendly match at FedExField on July 30, 2011 in Landover, Maryland.
Thiago Alcantara #4 wa Barcelona akishangilia goli la kufutia machozi alilofunga kipindi cha pili huku mchezaji mwenzake Jonathan dos Santos  akimbeba kwa furaha(picha kwa hisanai ya Rob Carr na Getty Image North America)

No comments: