ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, August 23, 2011

BAADA YA TETEMEKO,MAFUNDI UJENZI WAKIENDELEA NA UJENZI KAMA KAWAIDA

 Wajenzi wakiwa wamerudi kuendelea na kazi  za ujenzi,mitaa ya Silver Spring lakini semu nyingi za kazi na mashule na shughuli nyingi za mahakama zilisitishwa mpaka kesho simu za mkononi zilikata mawasiliano kwa muda.kampuni ya T Mobile hawakua hewani takribani saa 3.

Wakazi wengi wa DMV wanatumia usafiri wa mabasi kuliko treni ambazo usafiri wake sehemu kubwa ni chini ya Ardhi,Treni zimeamuriwa zitumie mwendo wa 15 M/H(25 KM/H)  mpaka hapo ukaguliwaji wa mataaluma utakapomalizika,kawaida mwendo wa kawaida wa hizi treni ni 60 M/H(100 KM/H)

No comments: