Lovely lovely!! mbarikiwe saana, mmeshaanza na kufanana, maana wanandoa huwa wanafanana, nimewapenda kwelii, muendelee kupendana, mmesikia wapendwa wangu, amani iwe kwenu na nyumba yenu inshaalah mungu atailinda siku zote Msherekee aniversary yenu kila mwaka, lovely couple
2 comments:
Hongereni jamani. Mungu awabariki ili mdumu ktk ndoa yenu na muwe mfano kwa walio wengi.
Lovely lovely!! mbarikiwe saana, mmeshaanza na kufanana, maana wanandoa huwa wanafanana, nimewapenda kwelii, muendelee kupendana, mmesikia wapendwa wangu, amani iwe kwenu na nyumba yenu inshaalah mungu atailinda siku zote Msherekee aniversary yenu kila mwaka, lovely couple
Post a Comment