ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, September 17, 2011

Anniversary ya miaka 20 ya ndoa ya Bi mosi na mume wake Mohammed

Bi Mosi akiwa na Mume wake Mohammed wakiingia ukumbi wa Astoria World Manor uliopo Queens,New York,Nchini Marekani kwenye sherehe ya kusherehekea miaka 20 ya ndoa yao
 
Ustadhi Mafta akiomba dua mara tu Bi mosi na Mume wake walipoingia ukumbini
Bi Mosi na Mume wake Mohammed wakiwa wameketi meza kuu Bi Mosi na Mume wake wakifungua Muziki Bi Mosi akipata Ukodak Moment marafiki zake huku Ebra NY(kulia) hakua mbali kwenye ukodak huu(picha kwa hisani ya Ebra NY)

No comments: