ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, September 15, 2011

LINDA NA LUCY NDANI YA WESTMINISTER

speaker of house of commons
picha ya kushoto ni Linda Kapinga na mwakilishi wa Australia,mwakilishi wa Northen ireland na Lucy Minde na picha kulia ni Linda Kapinga na Lucy Minde [Wawakilishi wa Bunge la vijana wa CommonWealth
SALAM,

Urban Pulse Creative inakuletea matukio katika picha ya wawakilishi wetu kutoka Tanzania ndani ya Bunge la Vijana (YOUTH COMMONWEALTH PARLIAMENT) lililofanyika kuanzia tarehe 6-10 Septemba 2011. Tanzania Iliwakilishwa kutoka kwa Linda kapinga pamoja na  Lucy Minde. 

Motto wa Mkutano huu ulikuwa Mabadiliko ya Mazingira

Mbali na kupata fursa ya kukutana na wawakilishi wengine kutoka kwenye nchi mbalimbali za jumuiya ya Madola pia walikaribishwa kupata chakula cha pamoja  kutoka katika nyumba wa spika wa House of Commons John Bercow

Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE
Kwa picha zaidi Bofya Read More

DR. Shija na Wawakilishi Wetu
Jengo la westminister
linda akiwa kazin
Linda Kapinga,Lucy Minde na mwakilishi wa Malawi [Heather Maseko] na walinzi,nje ya nyumba ya speaker wa bunge,walipoalikwa kwa Networking Dinner

Lucy akiwa kwenye chamber westminister na wawakilishi kutoka nchi mbalimbali
Mh Balozi Peter Kallaghe Katika picha ya pamoja Linda na Lucy
Wawakilishi wetu wakifuatilia hoja Bungeni
wawakilishi wetu wakipeperusha bendera ya Tanzania ndani ya westminister

No comments: