ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, October 22, 2011

WAGENI WAALIKWA KWENYE SHEREHE ZA HARUSI YA MOZA KHAMISI NA SARAI MFAUME SARAI

 Wageni waalikwa waliokuwepo kwenye sherehe ya harusi ya Moza na Sarai liyofanyika Silver Spring,Maryland Nchini Marekani kwenye picha ni Dr Hamza Mwamoyo(kati) Aunt Rehema(kulia) na Zuhura Ernest

Wageni kutoka sehemu mbali mbali walikuwepo kwenye sharehe za harusi za Moza na Sarai zilizofanyika Silver Spring,Maryland kwenye picha kutoka shoto ni Joyce Kasembe,Tatu Ernest na Sakina Underwood
 Kulia ni Mercy Dachi akiwa na Sara 
 Wageni waalikwa kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja
 wageni waalikwa katika picha ya pamoja
 Babu na wajukuu wakipata picha ya pamoja
 Wageni waalikwa wakipata picha ya kumbukumbu kwenye sherehe ya harusi ya Moza na Sarai
 Afisa Ubalozi wa Tanzania,Nchini Marekani,Suleiman Salehe(shoto) akipata picha na MC wa harusi ya Moza na Sarai,Ndugu Kinyemi.
 wageni wakiwa kwenye sherehe ya harusi ya Moza na Sarai
Wageni waalikwa wakimsikiliza MC(hayupo pichani) kujua nini kinafuata.
 wageni waalikwa wakipata picha ya pamoja
 Bibi akiwa na mjukuu wake nao hawakua mbali na kamere ya VIJIMAMBO
 Maaunt zetu nao wakipata picha ya pamoja.
Kwa picha zaidi Bofya Read More

 

No comments: