ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, December 25, 2011

HADIJA KOPA ACHENGUA HOLLAND

 Bi Hadija Omar Kopa akipokea Euro kama pongezi kwa kazi anayoifanya ukumbini hapo.watu walifurahi sana na
kucheza pamoja nae.kiukweli wengi walikubali kwamba Hadija Kopa anastahili kuitwa Malkia.
.Malkia wa mipasho akiwa na mashabiki wake ili kumpa sapoti ukumbini hapo.
 
kwa mapicha kibao tembelea htt://magangaone.blogspot.com

No comments: