Wafanyakazi wa Taasisi za Islamik (HELP) na Pole sana Bw. Samir Adam Rajab, akitoa msaada wa chakula na maji kwa watanzania walioathiriwa na mafuriko, Dar es Salaam jana.
Wafanyabiashara wa soko dogo la Kigogo, Dar es Salaam, wakisaidia kuinua Baiskeli ya magurudumu matatu (Guta) iliyokuwa imebeba magunia ya viazi na kuanguka karibu na soko hilo jana.
Daraja kubwa la Kigogo likiwa limekatika kwenye ukingo wa Barabara kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam.
(picha kwa hisani ya Majira)
No comments:
Post a Comment