Fransic Cheka akinyosha mikono juu baada ya kuibuka mshindi
Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Kalama Nyilawila wakati wa mpambano wao uliofanyika uwanja wa Jamhuri Morogoro mwishoni mwa wiki cheka alishinda kwa pointi.picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Madaraka Nyerere kushoto akifatilia mpambano huo jana
Baadhi ya wadau wakubwa wa mchezo wa ngumi wariofunga safari kutoka Dar kwenda Moro kuangalia mpambano kushoto ni kocha wa masumbwi nchini, Habibu Kinyogoli, Issa Malanga,Rashidi Mtulumla na Hssani Matumla
No comments:
Post a Comment